UGUMBA KWA MWANAMKE (KUTOSHIKA MIMBA – SABABU NA MATIBABU)
Ugumba
ni hali ya kupoteza uwezo wa kushika ujauzito, baada ya mme na mke kukutana
kimwili bila kinga kwa mwaka mzima.
Kwa mwanamke
aliyekatika umri wa kuzaa, anatakiwa apate ujauzito ndani ya mwaka mmoja baada
ya kuolewa au kuwa kwenye mahusiano na mme.
Ujauzito unapatikana
baada ya mwanamke kukutana na mwanamme kimwili na kwa ukamilifu katika siku za
hatari za mwanamke (kipindi cha uchavushaji wa yai la kike). Na katika hili,
mwanamme awe na uwezo wa kutoa mbegu za kiume imara wakati wa tendo la ndoa.
AINA ZA UGUMBA (Infertility)
1.
Primary infertility (Aina ya kwanza)
Hii hutokea pale mke na mme, tangu waoane au tangu wawe kwenye mahusiano, hawajawahi kupata mtoto licha ya kukutana kimwili na bila kinga yoyote.
Hii hutokea pale mke na
mme ambao waliwahi kupata mtoto, wanakosa uwezo wa kupata/ kuzaa mtoto mwingine
licha ya kukutana kimwili mara kwa mara na bila kinga.
Sababu za Ugumba
2. Kuziba kwa mirija ya uzazi
3.
Magonjwa kwenye
mfumo wa uzazi (PID)
4.
Uvimbe katika
mji wa mimba (Uterine Fibroids)
5. Msongo wa mawazo (emotional Stress)
6.
Uzito kupita
kiasi (Over wheight)
7.
Utoaji wa mimba
(Abortion) wa mara kwa mara
8. Matumizi ya Sigara, Pombe au Vilevi
9.
Mzunguko
(Menstrual Period) isiyoeleweka
10. Umri mkubwa (Zaidi ya miaka 35)
Dalili za Ugumba
1.
Maumivu chini ya
kitovu
2.
Maumivu ya kiuno
na mgongo
3.
Mzunguko
usioeleweka au ulioambatana na maumivu
4. Kukosa hamu ya tendo la ndoa
Tiba ya Ugumba kwa mwanamke
1.
Acha matumizi ya pombe, sigara na vilevi vingine
2.
Epuka visababishi
3.
Tibu magonjwa ya zinaa n.k.
4.
Kutana na mme kipindi hasa kwenye siku za hatari
5.
Dhibiti uzito iwapo umezidi
6.
Fanya mazoezi ya mwili na lishe bora
Hayo ni miongoni mwa mambo unayoweza kufanya ili kuepukana na hilo tatizo, ila kama umesumbuka saana na hili tatizo, usisite kuwasiliana nami kwa simu namba 0744925651 kwa ushauri na tiba Zaidi.
Ugumba kwa mwanamke unatibika
Somo hili ni miongoni mwa masomo yaliyoleta utatuzi wa changamoto kwa wengi.
ReplyDelete